mkutubi (libralian) wa chuo ndugu Juliana akiwa anapanga vitabu.wanafunzi wa hotel management wakiwa kwenye mazoezi ya usaili (interview) yakiongozwa na mwl. maili Mr. Omondi mbele yao, yenye lengo la kuwajengea uwezo na ujasiri waitwapo kwenye interview mara baada ya kuhitimu masomo.
wanafunzi wa QT wakiwa libraly wakijisomea, na wanafunzi wa kozi zingine kama hotel management, accauntancy, n.k wakisoma magazeti ili kupata taarifa mbalimbali.
Mkuu wa chuo Madam Sarah Mkongwa akitoa shukrani zake za dhati kwa mgeni rasimi pamoja na watu wote kwa ujumla walioweza kufika na kufanikisha uzinduzi wa chuo cha COYETA.
WANAFUNZI WAKIWA KATIKA MDAHALO WA ASUBUHI KILA SIKU ZA IJUMAA LENGO NI KUWAJENGEA UIMARA WA KUONGEA KATIKA MIKUTANO, MAKONGAMANO N.K
WASILIANA NASI +255-763906570, 0784627428, 0769898482
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni