WE,

Alhamisi, 29 Oktoba 2015

MGENI RASMI ATUNUKU VYETI

Mgeni rasmi Mch. Matiga akimtunuku mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya uhasibu chuoni CoYETa

MAHAFARI YA WAHASIBU WA MAKANISA YA FPCT MWANZA

Wahitimu wa mafunzo ya uhasibu wa makanisa ya FPCT Mwanza wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuhitimu na kutunukiwa vyeti vya mafunzo ya uhasibu katika chuo cha CoYETa

Jumapili, 4 Oktoba 2015

WANAFUNZI WAKIWA DARASANI

WANAFUNZI WA KOZI YA  HOTEL WAKIWA KATIKA MAZOEZI YA KUFANYIWA USAILI KWA AJILI YA KUWAJENGEA UWEZO WATAKAPOKUWA WANAFANYIWA USAHILI MARA BAADA YA KUMALIZA CHUO


Afisa Taaluma Bw. Baraka Mnkeni akifundisha wanafunzi wa CoYETa

Ijumaa, 2 Oktoba 2015

MAKTABA YA CHUO

Mkutubi (libralian) wa chuo Madam Juliana Mchopa anapanga vitabu maktaba na hapa chini wanafunzi wanasoma magazeti ambayo huletwa maktaba kila siku za wiki



Jumanne, 22 Septemba 2015

KARIBUNI KUJIUNGA NA COYETA


WANAFUNZI WA QT WANAJIANDIKASHA SASA, WAHI USOME MIAKA MIWILI TU FORM FOUR, KWA WAFANYAKAZI MASOMO HUTOLEWA JIONI BAADA YA KAZI.


WASILIANA NASI +255-763906570, 0784627428, 0769898482

Ijumaa, 15 Mei 2015

PICHA MBALIMBALI ZA SEMINA WA KUANDAA MPANGO MKAKATI

 BAADHI WA WADAU WAKISIKILIZA SEMINA YA MPANGO MKAKATI


MRATIBU WA CHUO CHA COYETA YARED BABONA AKITOA HISTORIA YA KUANZISHWA KWA CHUO WAKATI WA SEMINA YA KUANDAA MPANGO MKAKATI

MPANGO MKAKATI WA CHUO

MWEZESHAJI WA SEMINA YA KUANDAA MPANGO MKAKATI WA CHUO MCH. GEORGE MWITA  AKIENDESHA SEMINA HIYO CHUONI MWANZA